Ofisi zetu Tanzania
Ubalozi wetu upo katika jengo la "Umoja House" kwenye makutano ya mtaa wa Milambo na Garden Avenue jijini Dar es Salaam. Balozi wetu ni Diane Corner na amekuwa katika ofisi tangu Aprili 2009.
Tafadhali wasiliana nasi ili kufahamu zaidi juu ya namna tunayoweza kukusaidia, kuhusiana na huduma tunazotoa.
Ubalozi wetu upo katika jengo la "Umoja House" kwenye makutano ya mtaa wa Milambo na Garden Avenue jijini Dar es Salaam.