• UK
  • 11:42 07 Novemba 2009
  • |    
  • 14:42 07 Novemba 2009

Ujumbe kutoka kwa Balozi

Ninatumaini umeifurahia tovuti yetu. Tafadhali soma taarifa yangu . Pia jisikie huru kuwasiliana nasi endapo utakuwa na maoni.

Taarifa muhimu kuhusu viza

Kutokana na uboreshaji wa mfumo wetu wa kompyuta, shughuli ya utoaji viza zinakwenda taratibu kiasi. Tunasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza. Soma taarifa kamili.

 

Uingereza katika Tanzania - tovuti rasmi ya Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania

Our Ambassador

Ujumbe kutoka kwa Balozi

Ninatumaini umeifurahia tovuti yetu. Tafadhali soma taarifa yangu . Pia jisikie huru kuwasiliana nasi endapo utakuwa na maoni.

Taarifa muhimu kuhusu viza

Kutokana na uboreshaji wa mfumo wetu wa kompyuta, shughuli ya utoaji viza zinakwenda taratibu kiasi. Tunasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza. Soma taarifa kamili.

UK in Tanzania Dar ES Salaam

Wasiliana nasi

Ubalozi wa Uingereza, Dar es Salaam, Tanzania
Ubalozi wa Uingereza
Umoja House
Garden Avenue
S.L.P 9200
Dar es Salaam

Simu: (255) (22) 211 0101
Faksi:(255) (22) 211 0102

Jumatatu-Alhamis: 04:30-13:30 Muda wa Griniwichi (GMT)
Ijumaa: 04:30-11:30 Muda wa Griniwichi (GMT)

Jumatatu-Alhamis: saa 1:30asubuhi - saa 9:30 alasiri, Muda wa hapa nyumbani
Ijumaa: saa 1:30asubuhi - saa 7:30 alasiri Muda wa hapa nyumbani

 

Uingereza katika Tanzania

Uingereza ni moja kati ya nchi mbili wahisani, kubwa zaidi nchini Tanzania, na pia ndiyo nchi inayotoa fungu kubwa zaidi katika mpango wa kuchangia moja kwa moja katika bajeti ya Tanzania uitwao "General Budget Support" (GBS). Uingereza pia ni miongoni mwa nchi zinazotoa uwekezaji wa moja kwa moja (FDI) nchini Tanzania. Uboreshaji wa mazingira ya kibiashara (ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua katika masuala ya utawala bora) ni nyenzo muhimu kwa mafanikio ya Tanzania. Tanzania pia ni kiungo muhimu, kwa kuwa mstari wa mbele katika masuala ya amani - kupitia jitihada zake kwenye Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na pia katika mijadala ya kimataifa juu ya amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu. Rais Kikwete pamoja na Waziri Mkuu wa Uingereza, Gordon Brown, hufanya mashauriano ya mara kwa mara juu ya bara la Afrika pamoja na masuala husika ya kimataifa. Aidha, Uingereza na Tanzania zinashirikiana kwa pamoja katika masuala ya maendeleo, amani na usalama.

Tuma maombi yako ya viza kwa njia ya mtandao!

Raia wanaoishi Tanzania ambao wanataka kutembelea Uingereza, wanaweza kutuma maombi yao ya viza kwa njia ya mtandao. Kwa maelezo zaidi kuhusu huduma hii tafadhali angalia jinsi ya kutuma maombi katika ukurasa wa viza. Pia zingatia kwamba, kwa wale wote ambao hawatatumia njia ya mtandao kutuma maombi yao ya viza, hawataweza kupokewa ubalozini kwa siku za Ijumaa - isipokuwa kwa sababu maalum tu.

Kurudi juu